Mwaliko wa Kuhudhuria na Kushiriki katika Kikao cha Masuala ya Ummah
- Imepeperushwa katika Sudan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Sisi katika Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan tunafuraha kuwaalika wanataaluma wa vyombo vya habari, wanasiasa, na wale wanaopenda masuala ya umma kuhudhuria na kushiriki katika Kikao cha Masuala ya Ummah cha kila mwezi, ambao mwezi huu kimepewa kichwa: Sera ya Trump kwa Mashariki ya Kati… na Hasa Sudan