Jumatatu, 23 Shawwal 1446 | 2025/04/21
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Hizb ut Tahrir / Sweden: Kisimamo “Mauaji dhidi ya Raia mjini Gaza hivi sasa! Simama kwa Heshima!”

Kufuatia kukiuka makubaliano duni ya usitishaji mapigano ya umbile la Kiyahudi mnamo siku ya Jumanne, 18/03/2025, na kuanza tena kwa mauaji ya kimpangilio ya Waislamu wasio na ulinzi, ambao wengi wao ni wanawake, watoto na wazee, Hizb ut Tahrir / Sweden iliandaa kisimamo katika robo ya Waislamu wa mji mkuu, Stockholm, chenye kichwa “Mauaji dhidi ya Raia mjini Gaza hivi sasa! Simama kwa Heshima!”

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Uswidi: Ikiwa Wewe ni Msaidizi wa Watawala wa Kitwaghut, Basi Wewe sio Miongoni mwa Ummat Muhammad ﷺ!

Kalima ya Ustadh Youssef Ahmed, mwanachama wa Hizb ut Tahrir / Uswidi, ya kuwanusuru na kuwaombea nusra Waislamu katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) na wito kwa majeshi ya Waislamu kuvunja vizuizi ambavyo watawala wa Ruwaibidha wamewawekea katika kambi zao

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Uswidi: “Na sema: Kweli imefika, na uwongo umetoweka.” [Al-Israa: 81]

Kalima kuhusu mauaji ya kikatili yanayofanywa na umbile halifu la Kiyahudi dhidi ya Waislamu wasio na ulinzi katika Ukanda wa Gaza, ambayo yamesababisha kuuawa shahidi na kujeruhiwa kwa Waislamu zaidi ya 35,000, wanaume na wanawake hadi sasa, iliyoandaliwa na kuwasilishwa na Ustadh Dawoud Carlson, mwanachama wa Hizb ut Tahrir nchini Uswidi

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Uswidi: Ujumbe Mbele ya Ubalozi wa Uturuki nchini Uswidi!

Mbele ya ushujaa mujahidina wameudhihirisha katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) chini ya kauli mbiu (Kimbunga cha Al-Aqsa) dhidi ya  umbile nyakuzi la Kiyahudi, ambalo linaendelea kuushambulia Msikiti uliobarikiwa wa Al-Aqsa, na uzingiraji wake wa kuendelea na kudumu wa miaka 17 kwenye Ukanda wa Gaza, na mbele ya mauaji ya kikatili yaliyofanywa na umbile hili la kihalifu katika wiki mbili zilizopita dhidi ya Waislamu waliotengwa katika Ukanda wa Gaza

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu