Hizb ut Tahrir / Uholanzi: Matembezi Jijini Amsterdam “Harakati kwa ajili ya Gaza!”
- Imepeperushwa katika Uholanzi
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kufuatia umbile halifu la Kiyahudi kukiuka makubaliano dhaifu ya kusitisha mapigano alfajiri ya Jumanne, Machi 18, 2025, na kuanza tena mauaji ya kimpangilio ya Waislamu wasio na ulinzi, ambao wengi wao ni wanawake, watoto, na wazee, Hizb ut Tahrir / Uholanzi iliandaa matembezi na kisimamo cha halaiki katika mji mkuu wa Uholanzi, Amsterdam, kwa kichwa: “Harakati kwa ajili ya Gaza!”