Mwanachama wa Hizb ut Tahrir Ameuawa Shahidi katika Mkoa wa Ghazni
- Imepeperushwa katika Afghanistan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Abdul Aziz Mohammadi ambaye alikuwa mwanachama mkuu wa Hizb ut Tahrir / Wilayah Afghanistan katika mkoa wa Ghazni, ameuawa shahidi na watu wasiojulikana wenye silaha usiku wa Jumanne.