Hizb ut Tahrir / Sweden: Kisimamo “Mauaji dhidi ya Raia mjini Gaza hivi sasa! Simama kwa Heshima!”
- Imepeperushwa katika Sweden
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kufuatia kukiuka makubaliano duni ya usitishaji mapigano ya umbile la Kiyahudi mnamo siku ya Jumanne, 18/03/2025, na kuanza tena kwa mauaji ya kimpangilio ya Waislamu wasio na ulinzi, ambao wengi wao ni wanawake, watoto na wazee, Hizb ut Tahrir / Sweden iliandaa kisimamo katika robo ya Waislamu wa mji mkuu, Stockholm, chenye kichwa “Mauaji dhidi ya Raia mjini Gaza hivi sasa! Simama kwa Heshima!”